Malaika Gabrieli

Malaika Gabrieli
Performed bySt. Cecilia Mwenge Dsm
AlbumNakupenda Maria
CategoryMajilio (Advent)
ComposerJ. D. Mkomagu
Views4,150

Malaika Gabrieli Lyrics

  1. Malaika Gabrieli alitumwa na Mungu
    Kwenda kmpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti
    Kwa mwanamwali bikira *3
    Aliyekuwa ameposwa na Yusufu na Yusufu wa ukoo wa Daudi
    Jina lake bikira huyo alikuwa Mariamu

    Akaingia nyumbani mwake akasema,
    "Salamu Maria umejaa neema
    Salamu Maria, Bwana yu nawe
    Umebarikiwa kuliko wanawake wote
    Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa"

  2. Tazama utachukua mimba utazaa mwana
    Utamwita jina Yesu
  3. Na huyo atakuwa mtukufu ataitwa mwana
    Wa yule aliye juuu