Yesu ni Mwangaza
| Yesu ni Mwangaza | |
|---|---|
![]() | |
| Alt Title | Mwangaza |
| Performed by | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
| Album | Asifiwe Bwana Mungu (Vol 8) |
| Category | Injili na Miito (Gospel) |
| Composer | Bernard Mukasa |
| Video | Watch on YouTube |
| Views | 6,115 |
Yesu ni Mwangaza Lyrics
- Ndipo ukatema mate, aridhini, ukalifanya tope, mkononi
Ukampaka kipofu , ma-choni, macho yakafunguka, akaona,
Na mimi ni kipofu, nifumbue, macho ya roho yangu, kwa maana{
{ / s/ Mwangaza ni wewe, Mwokozi ni wewe
Mwalimu ni wewe, Kiongozi ni wewe
/ w / Ni wewe mwangaza na ni wewe Mwokozi
Ni wewe mwalimu na ni wewe kiongozi } *2 Yesu
} *2 - Ukamshusha kutoka, kwenye mti, Yule mtu mfupi, wa ushuru
Ukala nyumbani mwake, Zakayo, na ukamfundisha, kugeuka
Naye akakusikia, mwalimu, kageuza mwenendo, kwa maana - Naomba niongoze, ee Yesu, nibadili mwenendo, nigeuke
Njia inipotoshayo, niiache, uniponye usugu, wa moyoni
Dhambi niirudiayo, niishinde, nifundishe niweze, kwa maana
