Tumshukuru Mungu
| Tumshukuru Mungu | |
|---|---|
| Performed by | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) | 
| Album | Asifiwe Bwana Mungu (Vol 8) | 
| Category | Thanksgiving / Shukrani | 
| Composer | Fortune Shimanyi | 
| Views | 6,841 | 
Tumshukuru Mungu Lyrics
- Tumshukuru Mungu kwa ukarimu wa-ke (pia)
 Pia na wema wake kutupenda namna hii{ Nitazame - nitazame mimi (kisha ) nawe jitazame } *2
 (waweza) kuwa umeo-na (kama) tuko tofauti sura
 Nna hata matendo ( yetu) ni tofauti kweli
 Lakini Mungu wetu - wala habagui
 Anatupenda sote - ni vyema kumshukuru
- Matendo yake hayachunguziki, Mungu wetu (kweli)
 Kweli hatupaswi kuyachunguza mambo haya
- Mawazo yetu sisi yana upeo wake (wala)
 Hatuwezi kujua siri za Mungu wetu
- Twapaswa kushukuru kwa vyote tulivyo navyo
 Kwani kila kitu tumepewa na Mungu pekee
 
  
         
                            