Asifiwe Bwana Mungu
| Asifiwe Bwana Mungu | |
|---|---|
| Performed by | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) | 
| Album | Asifiwe Bwana Mungu (Vol 8) | 
| Category | Entrance / Mwanzo | 
| Composer | F. S. Matemele | 
| Views | 7,819 | 
Asifiwe Bwana Mungu Lyrics
- { Asifiwe Bwana Mungu aliyeumba mbingu na nchi (na nchi)
 Asifiwe katika patakatifu ( pake)
 Enzi na utawala wake (wa milele)
 Asifiwe kwa matendo (matendo) yake makuu} *2
 { Kageuza bahari kuwa nchi kavu
 ( na pia) ametoa maji - kwenye mwamba
 (Na tena) amewalisha watu - kwa mana kama Mungu } *2
 { Asifiwe yeye kwa matendo yake (hayo) makuu } *2
- Asifiwe, Yeye kwa kuwa, ni Bwana wa nguvu,
 Na hodari hodari wa vita, nguvu zake zapasua milima
 { Asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana)
 Milele (milele) milele (milele)
 Milele (milele) milele (milele)
 Asifiwe Bwana na nguvu zake (tumpe)
 Sifa na heshima ni vyake (ee mfalme) hata milele } *2
- Asifiwe yeye kwa kuwa ni Bwana wa mabwana
 Na mfalme mfalme wa wafalme,na mamlaka zatawaliwa naye
 { Asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana)
 Milele (milele) milele (milele)
 Milele (milele) milele (milele)
 Asifiwe Bwana na nguvu zake (tumpe)
 Sifa na heshima ni vyake (ee mfalme) hata milele } *2
- Asifiwe Yeye kwa kuwa ni mume wa wajane,
 Na Baba wa walio yatima, upendo wake hauna mipaka
 { Asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana)
 Milele (milele) milele (milele)
 Milele (milele) milele (milele)
 Asifiwe Bwana na nguvu zake (tumpe)
 Sifa na heshima ni vyake (ee mfalme) hata milele } *2
edited by John Kasindi (JOKA)
  
 
 
 
  
         
                            