Kwa Nini Nisiende

Kwa Nini Nisiende
Performed bySt. Bakhita Eastleigh
CategoryEntrance / Mwanzo
Views5,105

Kwa Nini Nisiende Lyrics

  1. Na nyumbani mwake Bwana, nani ataingia
    Bwana yuko mlangoni, atungoja tuingie
    Twendeni wote kwake, tumtolee ibada kweli

    Kwa nini nisiende (nyumbani) *2
    Niingie nyumbani mwake
    Kwa nini nisiende (nyumbani) *2
    Nishiriki karamuye
    Kwa nini nisiende (nyumbani) *2
    Nimshukuru Muumba wangu

  2. Kina baba tuingie, kina mama tuingie
    Tukamuimbie Bwana, nyimbo nzuri za furaha
  3. Vijana tuingie, na watoto tuingine
    Tukamuimbe Bwana, nyimbo nzuri za furaha
  4. Makasisi tuingie, na watawa tuingie
    Tukamuimbe Bwana, nyimbo nzuri za furaha
  5. Tupige vigele gele, kayamba ngoma tucheze
    Kuruka pia turuke, shingo na zinesenese