Nimrudishie Nini Bwana

Nimrudishie Nini Bwana
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumIkatetemeka Nchi (Vol 3)
CategoryOffertory/Sadaka
ComposerJ. C. Shomaly
Views11,112

Nimrudishie Nini Bwana Lyrics

  1. [ s ] Nimrudishie nini Bwana,
    [ w ] Kwa ukarimu wake alionitendea
    [ s ] Nitamlipa nini,
    [ w ] Kwa ukarimu wake alionitendea
    [ s ] Niimbe mimi vipi
    [ w ] Kwa ukarimu wake alionitendea
    [ s ] Mimi jamaa
    [ w ] Kwa ukarimu wake alionitendea
    Sasa nimrudishie nini Mwokozi wangu
    Sasa nimrudishie nini Mwokozi wangu

  2. [ s ] Nashindwa nikulipe nini kwa mema yako
    Kunilinda na maadui wote nitakupa nini Bwana
  3. Miezi miaka umenilinda Mungu wangu
    Wangapi wamezikwa leo hii mimi bado niko hai
  4. Ninakuomba unipe akili na maarifa
    Nizishinde nguvu na mamlaka ya wakuu wa giza