Nimrudishie Nini Bwana
Nimrudishie Nini Bwana | |
---|---|
Choir | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
Album | Ikatetemeka Nchi (Vol 3) |
Category | Offertory/Sadaka |
Composer | J. C. Shomaly |
Musical Notes | |
Timesignature | 3 8 |
Musickey | B Flat Major |
Nimrudishie Nini Bwana Lyrics
[ s ] Nimrudishie nini Bwana,
[ w ] Kwa ukarimu wake alionitendea
[ s ] Nitamlipa nini,
[ w ] Kwa ukarimu wake alionitendea
[ s ] Niimbe mimi vipi
[ w ] Kwa ukarimu wake alionitendea
[ s ] Mimi jamaa
[ w ] Kwa ukarimu wake alionitendea
Sasa nimrudishie nini Mwokozi wangu
Sasa nimrudishie nini Mwokozi wangu
1. [ s ] Nashindwa nikulipe nini kwa mema yako
Kunilinda na maadui wote nitakupa nini Bwana
2. Miezi miaka umenilinda Mungu wangu
Wangapi wamezikwa leo hii mimi bado niko hai
3. Ninakuomba unipe akili na maarifa
Nizishinde nguvu na mamlaka ya wakuu wa giza
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |