- Furaha mateso yetu
Bwana tunakutolea mikononi mwako-
Pokea sadaka ewe Bwana wetu tunayokutolea leo
[t:] Pokea Bwana *2, Ee Bwana Pokea *2
Pokea Bwana ewe Bwana wetu tunayokutolea leo
- Mazao ya kazi zetu zote,
tunakutolea Baba Mungu wetu-
- Pokea mkate na divai,
ndiyo alama ya agano jipya-
- Hivi ndio mwili na damu ya Kristu,
Ndiyo imani ya wakristu-
- Atukuzwe Baba na mwana na Roho,
Mwanzo leo kisha milele-
|
|
|