Upokee Sadaka Yetu

Upokee Sadaka Yetu
Performed by-
CategoryOffertory/Sadaka
Views6,062

Upokee Sadaka Yetu Lyrics

  1. Upokee sadaka yetu *2,
    Ee Bwana Mungu – twakutolea
    Twakutolea – vipaji vyetu, Vipaji vyetu – sadaka kwako
  2. Upokee sadaka yetu *2,
    Ee Bwana Mungu –tunakuomba
    Tunakuomba – uzipokee, Uzipokee – sadaka zetu
  3. Upokee mazao yetu *2,
    Ee Bwana Mungu – ni mali yako
    Ni mali yako – twakutolea, Twakutolea – mazao yetu
  4. Upokee na fedha zetu *2,
    Ee Bwana Mungu –ni jasho letu
    Ni jasho letu – twakutolea, Twakutolea – ni jasho letu
  5. Upokee na shida zetu *2,
    Ee Bwana Mungu – tunakuomba
    Tunakuomba – uzipokee, Uzipokee – na shida zetu
  6. Upokee mkate wetu *2,
    Ee Bwana Mungu – ni kazi yetu
    Ni kazi yetu – tunayofanya, Tunayofanya – twakutolea
  7. Upokee divai yetu *2,
    Ee Bwana Mungu – ya mizabibu, Ya mizabibu –
    tunayopanda, Tunayopanda – kwa shamba zetu