Ee Baba Pokea Sadaka
Ee Baba Pokea Sadaka | |
---|---|
Choir | St. Cecilia Mwenge Dsm |
Album | Viuzeni Mlivyo Navyo |
Category | Offertory/Sadaka |
Composer | G. Hyera |
Source | Dar-es-Salaam Tanzania |
Ee Baba Pokea Sadaka Lyrics
{ Ee Baba pokea sadaka yetu tunayokutolea
Hiyo ni kazi ya mikono yetu wanadamu } *2
{Twakuomba uipokee, ee Bwana uibariki
Bwana sadaka hii tunayokutolea } *2
-
Mkate pia divai tunakutolea
Upokee utakase na ubariki -
Na mazao ya mashamba Baba upokee
Ni zawadi ya mavuno kwa mikono yetu -
Nyoyo zetu tunakupa zote mali yako
Na fedha zetu tunaleta, Baba zipokee