Naenda Mimi Nikatoe

Naenda Mimi Nikatoe
Performed by-
CategoryOffertory/Sadaka
ComposerG. Matui
Views2,785

Naenda Mimi Nikatoe Lyrics

  1. Naenda mimi nikatoe zawadi nikampe Mwokozi wangu
    Naenda mimi nikatoe zawadi Japo kidogo nitakachotoa ninamuomba apokee

  2. Ule wakati ndugu umefika wa kumpa Mungu wako zawadi
    Nenda katoe ulicho nacho kampe Mungu wako
  3. Hata kidogo ndugu ukatoe, Mungu wako kwani anakuona
    Nenda katoe ulicho nacho kampe Mungu wako
  4. Ulivyo navyo ndugu vya Bwana usisite usimame katoe
    Nenda katoe ulicho nacho kampe Mungu wako