Mpeni Mungu Mali Yake
Mpeni Mungu Mali Yake Lyrics
{ Mpeni Mungu mali yake,
Mpeni Bwana haki yake. } *2
- Leteni zawadi kwa Bwana, mpeni Bwana haki yake
Mkate, kiini cha ngano -
Divai, tunda la mzabibu -
Na Bwana atazibariki -
- Na kazi ya mikono yetu -
Nazo nafaka za mashamba -
Nayo mapato ya mashamba -
Na Bwana atayatakasa -
- Sisi ni mali yake Bwana -
Toeni nafsi kwake Bwana -
Nayo furaha na uchungu -
Na Bwana atavipokea -
- Vitu vyote ni vyake Bwana -
Itangaze sifa yake -
Uhubirini ukuu wake -
Milele hata na milele -